Cindy Sanyu: Mario si muoaji

Cindy na mpenzi wake Mario wakiwa na mtoto wao

Mwanadada Cindy Sanyu, Msanii wa muziki kutoka nchini Uganda, ameweka wazi kuwa, sababu ya kuachana na Mario ambaye ni baba wa mtoto wake, ni kutokana na kuona hana malengo ya kuhalalisha mahusiano yao kwa kumuoa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS