Mahakama kuu yafuta kesi dhidi ya waziri Pinda

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda

Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam imetupiliwa mbali Kesi iliyokuwa imefunguliwa na Kituo cha sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kwa kushirikiana na Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) dhidi ya Waziri Waziri Mkuu wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS