Ali Shabani Mabuyu na Juma Yusuf wakikabidhiwa bendera ya taifa na naibu mkurugenzi wa maendeleo ya michezo-wizara ya habari, utamaduni vijana na michezo mama Juliana Matagi Yassoda.
Wachezaji wawili waliochaguliwa kwenda nchini Brazil kwenye kambi ya dunia ya Copa Coca-Cola, mapema leo wamekabidhiwa bendera ya Taifa tayari kwa safari hiyo itakayofanyika Jumapili ya June 8 mwaka huu.