Mama yake Zitto kuzikwa Kigoma leo

Marehemu Shida Salum ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe. Hii ni picha aliyopiga wakati wa enzi za uhai wake.

Mama mzazi wa Mbunge wa Kigoma kaskazini Zitto Kabwe, Bi. Shida Salumu ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Chama cha Walemavu Tanzania (CHAWATA) na pia mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA Bi Shida Salum, anatarajiwa kuzikwa hii leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS