Chameleone afunguka kuhusu bifu ya Jeff na Moze

Jose Chameleone katika show ya Moze na Weasel

Jose Chameleone, amezungumzia sakata la ugomvi unaoendelea kati ya Moze Radio na Jeff Kiwa baada ya kupata taarifa akiwa ziarani Brussels, na kusema kuwa kwa nafasi yake hawezi kuchukua upande wala kutoa maoni yoyote kutokana na yeye kuwepo mbali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS