Ban Ki Moon ampongeza Kikwete

Rais Kikwete alipokutana na Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon Toronto, Canada

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesifu jitihada za Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mchango wake mkubwa katika kupigania Afya ya Mama na Mtoto.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS