TCRA yakamata wezi wa huduma za mawasiliano
Raia watatu wa Kenya na Mtanzania mmoja jana wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu Jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kutoa huduma ya mawasiliano ya simu za kimataifa pasipo idhini ya Mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA.