Aliyebaka mwanafunzi apandishwa kizimbani

Watuhumiwa wakiwa katika eneo la Mahakama

Mahakama ya wilaya ya Morogoro imempandisha kizimbani Mohamed Haji Mgembe, akikabiliwa na mashtaka  ya kumbaka na kumlawiti  mwanafunzi mwenye umri wa miaka 12.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS