Ras 6 asema "NO"
Msanii anayeongoza bendi maarufu ya walemavu inayoitwa 'Tunaweza Band' Ras 6 hivi sasa anakusanya nguvu zake katika muziki ambapo anatarajia kutoa singo yake mpya iliyobatizwa jina 'NO' ambayo inatarajia kutoka mwanzoni mwa mwezi huu wa Sita.