Ras 6 asema "NO"

Msanii anayeongoza bendi maarufu ya walemavu inayoitwa 'Tunaweza Band' Ras 6 hivi sasa anakusanya nguvu zake katika muziki ambapo anatarajia kutoa singo yake mpya iliyobatizwa jina 'NO' ambayo inatarajia kutoka mwanzoni mwa mwezi huu wa Sita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS