Tahadhari imetolewa uchimbaji madini ya urani

Makamu mwenyekiti wa tume ya haki za binadamu na utawala bora, Bi. Mahfoudha Hamid (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na aliyekuwa mwenyekiti wa tume hiyo Jaji mstaafu Amir Manento.

Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini Tanzania imeitaka serikali kuhakikisha kuwa inapima, inachukua tahadhari pamoja na kuweka maandalizi ya kutosha ya kukabiliana na athari zinazoweza kutokana na uchimbaji wa madini ya urani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS