Tahadhari imetolewa uchimbaji madini ya urani
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini Tanzania imeitaka serikali kuhakikisha kuwa inapima, inachukua tahadhari pamoja na kuweka maandalizi ya kutosha ya kukabiliana na athari zinazoweza kutokana na uchimbaji wa madini ya urani.