D-Malick aibuka na aliyempenda
Msanii D-Malick Dreams kutoka mkoa wa Mwanza ambaye kwa hivi sasa yupo jijini Dar es Salaam amekuja kivingine baada ya kuungana na mkali katika muziki wa bongofleva Mr Blue kwa kutoa kichupa kipya kilichobatizwa jina 'Nilompenda'.