Wizara yakemea upotoshaji kuhusu homa ya Dengue

Msemaji wa wizara ya afya na ustawi wa jamii nchini Tanzania, Nsachris Mwamwaja (katikati), akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo hivi karibuni.

Wizara ya Afya na ustawi wa jamii nchini Tanzania imewataka wananchi watambue kuwa ugonjwa wa dengue upo na wapuuze taarifa za upotoshaji unaofanywa kupitia mitandao ya kijamii, simu za mikononi na mikusanyiko ya watu kuwa ugonjwa huo haupo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS