Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro (Kushoto) akipokea mwenge wa uhuru katika mkoa wa Mbeya kutoka Rukwa.
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro amesema miradi ya maendeleo inayozinduliwa katika mbio za mwenge haiwezi kuwa na manufaa endapo itagubikwa na rushwa.