Wadau walia na ada leseni za biashara

Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya mapato nchini Tanzania TRA, Rished Bade. Mamlaka yake ndio mkusanyaji mkuu wa kodi, mapato na ushuru wote wa serikali.

Serikali ya Tanzania imeshauriwa kuondoa ada katika leseni ya biashara ambayo inaweza kumsababishia mfanyabiashara mdogo kurudi nyuma kimaendeleo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS