Cricket U19TZ waendelea kujipanga Afrika Baadhi ya wachezaji wa cricket Tanzania wakishangilia katika moja ya michezo yao. TCA yajipanga kuhakikisha U19 inanyakua tiketi ya fainali za dunia katika michuano ya kufuzu daraja la pili Afrika itakayofanyika Lusaka mwezi Agost mwaka huu. Read more about Cricket U19TZ waendelea kujipanga Afrika