Pichani ni moja ya wanamichezo toka chuo cha mtakatifu Paul waliposhiriki michuano ya vyuo vikuu EA iliyofanyika mwaka jana nchini Tanzania
Ushauri umetolewa kwa wakuu wa vyuo vikuu hapa nchini kuhamasisha michezo mbalimbali katika vyuo vyao na kuhakikisha wanapata timu bora za kushiriki michuano mbalimbali ya ndani na nje