Umati wa wanachama wa klabu ya soka ya Yanga wakiwa katika moja ya mikutano ya klabu hiyo.
Uongozi wa Yanga umewataka wanachama wao kujitokeza katika mkutano mkuu wa klabu hiyo huku ukitoa onyo kwa wanachama ambao hawajalipia kadi kuwa watakosa haki ya kushirki katika mkutano huo