COSTECH yaahidi kuendelea kuwezesha vijana

Mkurugenzi mkuu wa tume ya taifa ya sayansi na teknolojia, Dkt Hassan Mshinda (kushoto), akiwa na afisa habari wa tume hiyo Theophil Pima (katikati) wakiwa katika mahojiano na baadhi ya waandishi wa habari hivi karibuni.

Vijana nchini Tanzania wameshauriwa kuto kata tamaa na kuona kwamba teknolojia ya sayansi ni vitu visivyowezekana katika kujiajiri, badala yake kufanya jitihada na kuelekeza nguvu zao kwenye kusomea masomo hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS