Mtu mwingine afa kwa dengue Dar

Mbu aina ya Aedes Egypti anayesambaza virusi vinavyoambukiza homa hatari ya dengue.

Mtu mmoja amefariki dunia kwa ugonjwa wa dengue hii leo katika hosipitali ya Mwananyamala Jijini Dar es Salaam na kufanya idadi ya watu walioripotiwa kufa katika hospitali ya hiyo kuwa wawili tangu kuibuka kwa ugonjwa huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS