Adam Kuambiana azikwa leo Dar

Jeneza la Marehemu Adam Kuambiana katika viwanja vya Leaders Club wakati wa shughuli ya kumtolea heshima za mwisho.

Aliyekuwa msanii na muongoza filamu maarufu, Adam Kuambiana amezikwa leo katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, katika mazishi yaliyohudhuriwa na umati mkubwa wa mashabiki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS