Simba yaanza kusikiliza mapingamizi hii leo

Baadhi ya wanachama wa Simba wakiwa katika moja ya mikutano ya klabu hiyo

zoezi la kuwahoji walioweka na kuwekewa pingamizi limeanza hii leo kwa kamati ya uchaguzi ya klabu ya Simba iliyochini ya mwenyekiti wake Dr. Damas Ndumbaro ambaye amewataka wanachama wa klabu hiyo kuwa makini na kanuni za uchaguzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS