Beki Taifa Stars Oscar Joshua akikabiliana na mchezaji wa Malawi katika mechi ya kirafiki jijini Mbeya
Taifa Stars na Malawi (Flames) zinapambana Jumanne (Mei 27 mwaka huu) katika mchezo wa kirafiki utakaofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuanzia saa 11 jioni.