Wanasiasa hamasisheni vita dhidi ya ukimwi-TACAIDS

Mkurugenzi wa habari kutoka Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi nchini Tanzania (TACAIDS) Bw. Jumanne Isango (kulia) akimkabidhi cheti cha ushindi wa uandishi wa habari bora za Ukimwi, mwandishi Erbenezer Mende.

Wanasiasa nchini Tanzania wametakiwa kutumia majukwaa kuhamasisha katika mapambano dhidi ya ugonjwa hatari wa Ukimwi hasa wakati huu ambapo nchi inaelekea kwenye chaguzi mbalimbali zikiwemo chaguzi za serikali za mitaa pamoja na uchaguzi mkuu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS