Mradi wa mabwawa kukuza kilimo nchini

Naibu Waziri wa Kilimo, Anthony Mavunde

Naibu Waziri wa Kilimo, Anthony Mavunde amesema utekelezaji wa miradi ya mabwawa unaoendelea nchini hivi sasa utasaidia sana kukuza sekta ya kilimo nchini Tanzania na kuongeza eneo kubwa zaidi linalofanya kilimo cha umwagiliaji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS