Baadhi ya wanachama wa Simba wakishuhudia moja ya mechi za timu yao.
Zoezi la kupokea pingamizi kwa wagombea zaidi ya 41 wa nafasi mbalimbali za uongozi wa klabu ya simba katika uchaguzi mkuu wa klabu hiyo utakaofanyika june 29 mwaka huu limehitimishwa hii leo