Nameless bado anamkumbuka E-Sir

Nameless

Imepita miaka kumi na moja tangu sekta ya muziki nchini Kenya kumpoteza msanii maarufu E-Sir ambapo licha ya majonzi hayo ya muda mrefu msanii Nameless ameamua kumkumbuka mkali huyo katika siku ya kuzaliwa kwake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS