Mgomo TAZARA bado upo pale pale

Moja ya treni inayomilikiwa na Shirika la Reli kati ya Tanzania na Zambia (TAZARA). Kwa muda sasa usafiri wa mizigo na abiria kati ya Dar es Salaam na Lusaka umekwama kutokana na mgomo wa wafanyakazi wa shirika hilo.

Wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli Tanzania na Zambia (TAZARA) wameendelea na mgomo licha ya serikali kutangaza kuwalipa mishahara ya mwezi Februari na Aprili, ambapo wamesisitiza ni lazima walipwe mishahara yao yote kwanza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS