Jamii imetakiwa kutambua umuhimu wa maktaba

Makamu wa Rais Dkt Mohammed Gharib Bilal, akipata ufafanuzi wa namna shughuli za maktaba zinavyoendeshwa nchini kutoka kwa mkurugenzi wa bodi ya huduma za Maktaba Dkt Ally Mcharazo. Katikati ni naibu waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Bi. Jennister Mhagama.

Jamii imetakiwa itambue umuhimu wa matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kupitia huduma ya katalogi ya ki-electroniki katika maktaba ili kurahisisha upatikanaji wa taarifa muhimu katika vitabu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS