Watumishi wa Afya Dar wapatiwa Elimu ya Ebola Waziri wa afya Ummy Mwalimu Serikali imewataka Watanzania kutokudharau tetesi yeyote watakayosikia juu ya uwepo wa mtu unayedhani ana dalili za ugonjwa wa Ebola kufuatia ugonjwa huo kuua zaidi ya watu 130 nchini Uganda. Read more about Watumishi wa Afya Dar wapatiwa Elimu ya Ebola