Serikali itaendelea kuunga mkono wasanii nchini

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza katika uzinduzi wa Tamasha la 41 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni linalofanyika katika Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) Novemba 11, 2022 Bagamoyo mkoani Pwani.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amewahakikishia Wasanii kuwa Serikali ya Awamu ya Sita ya Mhe. Samia Suluhu Hassan itaendelea kuunga mkono wasanii wote, kwa kuhakikisha sekta za Utamaduni, Sanaa na michezo zinaendelea kuwanufaisha vijana wengi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS