Stars yaanza safari ya Morocco kwa kicheko

Baadhi ya wachezaji wa Taifa Stars muda mfupi kabla ya kuanza kwa pambano dhidi ya Zimbabwe

Taifa Stars imeanza vizuri hakati za kutafuta nafasi ya kufuzu kombe la mataifa Afrika nchini Morocco mwakani baada ya kuifunga Zimbabwe bao 1-0 katika mechi ya kwanza ya raundi ya kwanza iliyochezwa katika uwanja wa Taifa jijini DSM.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS