Mwili wafukuliwa na kunyofolewa moyo

Juma Homera, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera amealiagiza Jeshi la Polisi mkoani humo, kufanya uchunguzi wa haraka kuwabaini watu waliohusika na tukio la kufukua mwili wa mwanamke Neema Mlomba na kunyofoa baadhi ya viungo vyake ikiwemo moyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS