Maafisa maendeleo ya jamii watakiwa kuongeza kasi

Waziri wa Maendeleo ya Jamii Dk. Dorothy Gwajima

Maafisa Maendeleo ya Jamii wametakiwa kujipanga kwenda na kasi ya serikali ili kuchochea maendeleo ya jamii sambamba na sera, mikakati, sheria  na miongozo mbalimbali wakati serikali ikiendelea kufanyia kazi changamoto za upungufu wa watumishi, mazingira ya kazi na sheria ya taaluma hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS