BFT Wazawadiwa Medali 300

Bondia wa Martha George (aliyevaa red) akimsukumizia konde Irene Kimaro (aliyevaa bluu) kwenye mashindano ya ngumi za ridhaa ya Taifa yaliyokuwa yaliyofanyika jijini Dar es salaam.

Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania,BFT limepokea medali 300 za dhahabu, Shaba na Fedha kutoka shirikisho la masumbwi la Finland ikiwa ni sehemu ya msaada wa kuinua mchezo wa Ngumi nchini Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS