Akutwa na mkono wa albino kwenye begi

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limewakamata watu watano wanaodaiwa kuhusika na mauaji kijana Joseph Mathias (38) ambae ni mlemavu wa Ngozi [Albino) mkazi wa Kijiji cha Ngula wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza huku mmoja akikutwa na  mkono wa mtu huyo ndani ya begi akisaka mganga amuuzie

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS