Aliyeokoa abiria wa ndege apekekwa Jeshini

Rais wa Tanzania Samia     Suluhu Hassan ameagiza kijana Majaliwa (mvuvi) aliyeshiriki kuokoa abiria kwenye ajali ya dege Bukoba akabidhiwe kwa Waziri wa mambo ya ndani na atafutiwe nafasi kwenye jeshi la uokozi ili kijana huyu apate mafunzo zaidi ya ujasiri zaidi 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS