Sendiga ataka viongozi wasijilipe posho
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Queen Sendiga, ametoa wito kwa wafanyakazi pamoja na viongozi wengine wanapokwenda kukagua miradi ya maendeleo kuhakikisha hawajilipi posho kutoka katika fedha za miradi husika ili fedha hizo ziweze kukamilisha miradi kwa wakati.