Tanzania mbioni kuuza parachichi nchini Marekani

Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amesema kufuatia mahusiano mazuri ya kibiashara baina ya Tanzania na Marekani, Tanzania ipo mbioni kunufaika na soko kubwa la Parachichi nchini Marekani baada ya kukamilika kwa taratibu chache za masuala ya usafi wa mazao

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS