RC Malima atoa siku 7 walioua albino wakamatwe
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Adam Malima ametoa siku saba kwa viongozi wa kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa huo kufanya opereshi na kuwakamata waliohusika na mauaji ya Joseph Mathias mwenye umri wa miaka 50 mkazi wa Kijiji cha Ngulla Wilayani Kwimba Mkoani Mwanza ambae ni mlemavu wa ngozi