"Kunyweni bia polepole msidhuru Figo" -Prof Mahalu
Hospitali ya Kanda ya Rufaa ya Chato, kwa kushirikiana na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, wamezindua kliniki ya wagonjwa wa moyo kwenye hospitali hiyo ili kuwapunguzia adha wananchi wa kanda ya ziwa kusafiri zaidi ya kilomita 100 kufuata huduma ya matibabu hayo jijini Dar es Salaam.