Wazoa taka waomba kukatiwa bima za afya Wazoa taka Wazoa taka katika mkoa wa Dar es Salaam wameeleza namna wanavyodharaulika kwenye jamii kwa kutolewa lugha za kejeli huku wengine wakiiomba serikali kuwatambua kwa kukatiwa kadi za bima ya afya. Read more about Wazoa taka waomba kukatiwa bima za afya