Wazoa taka waomba kukatiwa bima za afya

Wazoa taka

Wazoa taka katika mkoa wa Dar es Salaam wameeleza namna wanavyodharaulika kwenye jamii kwa kutolewa lugha za kejeli huku wengine wakiiomba serikali kuwatambua kwa kukatiwa kadi za bima ya afya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS