Mtoto wa Davido na Chioma afariki dunia Picha ya pamoja ya Davido, Chioma na mtoto wao Staa wa mziki Africa Davido na mpenzi wake Chioma wamempoteza mtoto wao wa kiume mwenye miaka mitatu Ifeanyi baada ya kufariki dunia ndani ya 'Swimming pool' ya familia huko Lagos Nigeria. Read more about Mtoto wa Davido na Chioma afariki dunia