"Korosho ya Tanzania yauzwa Marekani" - Mavunde

Korosho

Naibu Waziri wa Kilimo, Mh. Anthony Mavunde aeleza kuwa Serikali inaendelea kutekeleza mikakati mbalimbali yenye lengo la kuhakikisha asilimia 60 ya korosho zote zinazozalishwa nchini zinabanguliwa ifikapo msimu wa mwaka 2025/2026. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS