Wananchi Kagera kuondokana na adha ya maji

Wananchi 42,542 kutoka katika wilaya sita zilizoko mkoani Kagera wameanza kuondokana na adha ya kukosa maji baada ya miradi saba inayotekelezwa kwa fedha za UVIKO 19 shilingi bilioni 4.8 kuanza kutoa huduma hiyo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS