Waziri akita kambi kuzima moto Mlima Kilimanjaro
Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana, ameweka kambi katika Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro ikiwa ni mwendelezo wa ushiriki wake kuhakikisha moto unaowaka katika maeneo machache yaliyosalia katika hifadhi ya Mlima huo unazimwa.