Chipsika kiajira na Coke.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, (Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Prof.Joyce Ndalichako kushoto akiwa na Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Coca cola kwanza Unguu sulay

Zaidi ya vijana 900 wanaofanya biashara ya chipsi wametakiwa kutumia fursa ambayo wamewezeshwa na kupewa mafunzo yaliyolenga utunzaji wa kumbukumbu na hesabu, huduma kwa wateja na ukuzaji wa mtaji, kama sehemu ya mpango wa ujumuishaji wa vijana kiuchumi wa Coca-Cola Kwanza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS