Akatwa mapanga akimuogesha mjukuu wake

Wanachi walioshiriki mazishi ya Nshoma Moshi

Watu wawili wakazi wa Kata ya Didia, Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga, wamefariki dunia akiwemo mama mmoja aitwaye Nshoma Moshi, aliyekatwa mapanga akiwa nyumbani kwake majira ya saa 2:00 usiku wakati akimuogesha mjukuu wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS