Akatwa mapanga akimuogesha mjukuu wake
Watu wawili wakazi wa Kata ya Didia, Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga, wamefariki dunia akiwemo mama mmoja aitwaye Nshoma Moshi, aliyekatwa mapanga akiwa nyumbani kwake majira ya saa 2:00 usiku wakati akimuogesha mjukuu wake.