Wafanyabiashara DRC watembelea miradi Tanzania
Jumla ya wafanyabaishara wapatao 40 kutoka Nchini DRC wameitembelea miradi mbalimbali ya kimkakati Nchini Tanzania kwa lengo la kuangalia fursa mbalimbali za kiuwekezaji na usafirishaji kupitia ushoro wa kati.