Bilioni 8 zatengwa kusomesha madaktari bingwa
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu, amesema kuwa serikali imetoa shilingi Bilioni 8 kwaajili ya mafunzo wa ubingwa na ubingwa bobezi kwa watumishi wa umma katika sekta ya afya ili kuondokana na upungufu wa madaktari bingwa ndani ya nchi.