Polisi Meatu waanza kukabiliana na tembo
Kufuatia watu watatu kuuawa na Tembo mwaka huu katika Wilaya ya Meatu mkoani Simiyu, Serikali imeanza kuchukuwa hatua za haraka kujenga vituo vya askari wa kufukuza wanyama hao, wanapovamia kwenye makazi ya watu