Mwanafunzi ajiua kwa sumu kisa ujauzito

Jeneza lililobeba mwili wa mwanafunzi huyo

Janeth Charles (18), mkazi wa Mtaa wa Nyakahangola ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Nyabubele iliyopo Kata ya Kasamwa mkoani Geita amefariki dunia baada ya kunywa sumu ya panya kwa madai ya kwamba alikuwa mjamzito.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS